HABARI ZA KIJAMII, MICHEZO, BURUDANI TEMBELEA BLOG HII. 0684 204548
Thursday, July 28, 2011
Adha ya Mgambo wa Jiji! Mgambo wa Jiji wakiwa wamemzunguka muuza maembe pale Kariakoo hata hivyo wananchi waliingilia kati ugomvi huo na muuza maembe akaachiwa na kuendelea na kazi yake ya kutafuta ugali